Kaimu Mkurugenzi Idara ya Utawala na Rasilimali Watu Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Bibi.Prisca Shewali akifanya kipimo cha VVU katika zoezi la upimaji wa afya lililokuwa likifanyika leo katika Ofisi za Wizara kwa utekelezaji wa agizo la Waziri Mkuu Mhe.Kassim Majaliwa alipozindua Kampeni ya “Furaha YANGU” kushoto ni Mtaalamu wa Maabara kutoka Hospitali ya Makole Jijini Dodoma Hadasa Haruni. 
 Afisa  Bunge Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Bw.Francis Songoro akifanya kipimo cha VVU katika zoezi la upimaji wa afya lililokuwa likifanyika leo katika Ofisi za Wizara Jijini Dodoma kwa utekelezaji wa agizo la Waziri Mkuu Mhe.Kassim Majaliwa alipozindua Kampeni ya “Furaha YANGU” kushoto ni Mtaalamu wa Maabara kutoka Hospitali ya Makole Bibi.Hadasa Haruni.
 Katibu Muhtasi Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo  Bibi.Niuka Chande akipima Shinikizo la Damu wakati wa zoezi la upimaji wa afya  kwa watumishi wa wizara kufuatia agizo la Waziri Mkuu Mhe.Kassim Majaliwa alipozindua Kampeni ya “Furaha YANGU” lililokuwa likiendelea leo katika Ofisi za Wizara Jijini Dodoma na wataalamu kutoka Hospitali ya Makole (kushoto ) Daktari Janeth Mtenga.
Baadhi ya watumishi wa Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo wakiwa katika foleni ya kupima afya zao wakati wa zoezi la upimaji wa afya kazini kufuatia agizo la Waziri Mkuu Mhe.Kassim Majaliwa alipozindua Kampeni ya “Furaha YANGU”  lililokuwa likiendelea leo katika Ofisi za Wizara Jijini Dodoma. Na Anitha Jonas – WHUSM

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...