Katibu Mkuu Uwt Taifa Queen Mlozi ametembea shule sekondari ya Msalato iliyopo mkoani Dodoma na kutoa zawadi mbalimbali katika shule hiyo ikiwa ni muendelezo wa maadhimisho ya miaka 42 ya Chama cha Mapinduzi
Katibu mkuu Uwt Taifa Queen Mlozi akikata Keki Jijini Dodoma ikiwa ni muendelezo wa maadhimisho ya miaka 42 ya Chama cha Mapinduzi
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...