Katibu Mkuu Uwt Taifa Queen Mlozi ametembea shule sekondari ya Msalato iliyopo mkoani Dodoma na kutoa zawadi mbalimbali katika shule hiyo  ikiwa ni muendelezo wa maadhimisho ya miaka 42 ya Chama cha Mapinduzi
 Katibu mkuu Uwt Taifa Queen Mlozi akikata Keki Jijini Dodoma ikiwa ni muendelezo wa maadhimisho ya miaka 42 ya Chama cha Mapinduzi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...