The Art of FACTS mimi ni mteja wa Equity Bank I was shocked last week kuona habari za kuichafua my Bank ambayo kabla ya kufungua my account tayari nilishafanya utafiti wa kutosha na kuijua vizuri bank hii ambayo wala sio siri kwa maoni yangu ndiyo THE BEST BANK nchini so far ambayo ilianzishwa Mwaka 2012 na kwa sasa ina Branches 15 Tanzania nzima pamoja na Zanzibar na tayari wanazo ATM’s 21 wakiwa na nia ya kubadilisha maisha ya Wananchi wa kawaida kiuchumi kwa kuwapatia huduma bora na fursa. 

 Equity Bank Limited Tanzania ni part of Equity Group Holdings Plc iliyoanzishwa Mwaka 1984 kutokea Kenya na Mkurugenzi wake wa kwanza akiwa Dr. James Mwangi na leo Equity ipo Africa nzima na inaongoza masoko ya nchi za Kenya, Uganda na Rwanda, Congo-DRC, South Sudan. Bank hii ina wateja Millioni 21.8 na mtaji wa jumla ya Dola za Kimarekani USD 5.7 Billioni, kwa ujumla wake ni Bank ambayo inashika nafasi ya 11 Duniani kwa Matokeo na Mali ilizonazo. 

 Mwaka uliopita ilishinda zawadi ya “African Bank of the Year” na Mkurugenzi wake Mkuu Dr. James Mwangi ameshinda pia zawadi ya “African Banker of the Year 2018”. Sasa kwahayo machache naomba kuwakumbusha wale wote wanaohangaika kuichafua Bank hii kwamba mmepotea sana ushindani wa bank ufanyike kwa kazi na sio kuchafuana mitandaoni cause binafsi siwezi kunyamaza kuona Bank yangu inachafuliwa kwa sababu za kiushindani wa kibiashara …

I salute you Equity Bank endeleeni kusaidia Wajasiriamali wanyonge nchini kwa mikopo yenye riba nafuu na pia endeleeni kutusaidia hata sisi wajasiriamali wadogo wadogo kwa mikopo nafuu ..haya makelele ya Social Media niachieni mimi hahahahaha U know …MUNGU AIBARIKI TANZANIA! AMEN! – @ lemutuz_superbrand

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...