Mgeni Rasmi Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Ayoub Mohamed Mahmoud akitoa hotuba ya ufunguzi wa Mafunzo ya Utafiti wa Mapato na Matumizi ya Kaya Binafsi ya Mwaka 2019/2020 yaliofanyika Chuo cha Karume Mbweni Wilaya ya Magharibi B Unguja.
Mtakwimu Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mayasa Mahfudha Mwinyi akitoa hotuba ya kumkaribisha Mgeni Rasmi katika Ufunguzi wa Mafunzo ya Utafiti wa Mapato na Matumizi ya Kaya Binafsi ya Mwaka 2019/2020 yaliofanyika Chuo cha Karume Mbweni Wilaya ya Magharibi B Unguja.
Baadhi ya Washiriki (WADADISI)wa mafunzo ya Utafiti wa Mapato na Matumizi ya Kaya Binafsi ya Mwaka 2019/2020 wakimsikiliza mgeni Rasmi katika Ufunguzi wa Mafunzo hayo yaliofanyika Chuo cha Karume Mbweni Wilaya ya Magharibi B Unguja.
PICHA NA YUSSUF SIMAI/MAELEZO ZANZIBAR.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...