Mkurugenzi
wa Idara ya Sera na Mipango toka Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na
Michezo, Petro Lyatuu (katikati) akifafanua jambo kwa wajumbe wa mkutano
wa ushirikiano kati ya Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
(Tanzania Bara) na Wizara ya Habari, Utalii na Mambo ya Kale (Zanzibar)
mapema hii leo jijini Dar es Salaam, kulia ni Mkuurugenzi wa Mipango
toka Wizara ya Habari, Utalii na Mambo ya Kale (Zanzibar)Bw. Mahmoud
OmarHamad na kushoto ni Mkurugenzi wa Mipango toka Wizara ya Vijana,
Utamaduni, Sanaa na Michezo (Zanzibar) Bi. Saum Ali Said.
Baadhi ya wajumbe wa mkutano wa ushirikiano kati ya Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo (Tanzania Bara) na Wizara ya Habari, Utalii na Mambo ya Kale (Zanzibar) wakimsikiliza Mkurugenzi wa Idara ya Sera na Mipango toka Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo,Bw. Petro Lyatuu (hayupo pichani) wakati wa kikao cha kujengeana uwezo mapema hii leo jijini Dar es Salaam.
Wajumbe wa mkutano wa ushirikiano kati ya Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo (Tanzania Bara) na Wizara ya Habari, Utalii na Mambo ya Kale (Zanzibar) wakiendelea na kikao cha kujengeana uwezo mapema hii leo jijini Dar es Salaam.
Wajumbe wa mkutano wa ushirikiano kati ya Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo (Tanzania Bara) na Wizara ya Habari, Utalii na Mambo ya Kale (Zanzibar) wakiendelea na kikao cha kujengeana uwezo mapema hii leo jijini Dar es Salaam.Picha na WHUSM –Dar es Salaam
Baadhi ya wajumbe wa mkutano wa ushirikiano kati ya Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo (Tanzania Bara) na Wizara ya Habari, Utalii na Mambo ya Kale (Zanzibar) wakimsikiliza Mkurugenzi wa Idara ya Sera na Mipango toka Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo,Bw. Petro Lyatuu (hayupo pichani) wakati wa kikao cha kujengeana uwezo mapema hii leo jijini Dar es Salaam.
Wajumbe wa mkutano wa ushirikiano kati ya Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo (Tanzania Bara) na Wizara ya Habari, Utalii na Mambo ya Kale (Zanzibar) wakiendelea na kikao cha kujengeana uwezo mapema hii leo jijini Dar es Salaam.
Wajumbe wa mkutano wa ushirikiano kati ya Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo (Tanzania Bara) na Wizara ya Habari, Utalii na Mambo ya Kale (Zanzibar) wakiendelea na kikao cha kujengeana uwezo mapema hii leo jijini Dar es Salaam.Picha na WHUSM –Dar es Salaam
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...