Naibu Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na marafiki zake ambao ni wadau wa Maendeleo kutoka Wilayani Rungwe Mkoani Mbeya tukio lililofanyika leo tarehe 4 februari, 2019 nje ya viwanja vya Bunge Jijini Dodoma.
Naibu Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na marafiki zake ambao ni wadau wa Maendeleo kutoka Wilayani Rungwe Mkoani Mbeya tukio lililofanyika leo tarehe 4 februari, 2019 nje ya viwanja vya Bunge Jijini Dodoma. Wa pili kulia ni Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Dkt. Mary Mwanjelwa
(PICHA NA OFISI YA BUNGE)
Naibu Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na marafiki zake ambao ni wadau wa Maendeleo kutoka Wilayani Rungwe Mkoani Mbeya tukio lililofanyika leo tarehe 4 februari, 2019 nje ya viwanja vya Bunge Jijini Dodoma. Kushoto kwa Naibu Spika, Waziri wa Kilimo, Mhe. Japhet Hasunga na kulia kwa Naibu Spika ni Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Dkt. Mary Mwanjelwa


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...