Mshambuliaji wa timu ya Polisi Tanzania Edga Mfumakule akionyesha umahiri wa kusakata kabumbu wakati wa mchezo wa ligi daraja la kwanza dhidi ya Mashujaa ya Kigoma katika uwanja wa Ushirika Moshi ambapo Polisi walishinda 1-0 (Picha na Jeshi la Polisi).
 Santos Marcelino wa Polisi Tanzania akitamba mbele ya walinzi  wa Mashujaa ya Kigoma wakati wa mchezo wa ligi daraja la kwanza katika uwanja wa Ushirika Moshi ambapo Polisi walishinda 1-0.
 Santos Marcelino wa Polisi Tanzania akiwatoka walinzi wa Mashujaa ya Kigoma wakati wa mchezo wa ligi daraja la kwanza katika uwanja wa Ushirika Moshi ambapo Polisi walishinda 1-0.
Kikosi cha timu ya Polisi Tanzania kilichoanza dhidi ya Mashujaa ya Kigoma wakati wa mchezo wa ligi daraja la kwanza katika uwanja wa Ushirika Moshi ambapo Polisi walishinda 1-0 (Picha na Jeshi la Polisi).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...