Mwenyekiti wa Tume ya madini Nchini Prof Idris Kikula akifanya ukaguzi wa ulipaji wa Maduhuli wa kampuni ya Uchimbaji wa Kokoto ya Nyanza Road works alipokuwa akikagua machimbo na mitambo ya uzalishaji wa kokoto eneo la Chigongwe Jijini Dodoma.Katikati ni kamishna wa Tume ya Madini Dkt.Athanas Macheyeki na Afisa Madini wa Mkoa Jonas Mwano.
 Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dkt. Binilith Mahenge(kulia) akimsikiliza Mwenyekiti wa Tume ya madini nchini Prof Idris Kikula alipomtembelea kumweleze juu ya ziara yake ya kukagua Shughuli za uchimbaji wa Madini na Kuhamasisha ulipaji wa Kodi na Ufahamu wa Sheria ya Madini katika Mkoa wa Dodoma.
 :Makamishna wa Tume ya Madini nchini Prof Abdulkarim Mruma na Dkt.Athanas Macheyeki wakifuatilia jambo wakati walipomtembelea Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dkt.Binilith Mahenge leo Ofisini kwake Jijini Dodoma.
 Mwenyekiti wa Tume ya madini Nchini Prof Idris Kikula na Kamishna wa Tume ya Madini nchini Prof Abdulkarim Mruma wakifuatilia hatua mbalimbali za  uchenjuaji wa dhahabu leo Jijini Dodoma.
Mwenyekiti wa Tume ya Madini Nchini Prof Idris Kikula(mwenye kofia na miwani)  akiangalia moja ya sehemu ya machimbo ya mawe leo Jijini Dodoma.
Picha na Daudi Manongi,MAELEZO.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...