RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akimsikiliza Mtaalam wa Dawa za Asili kutoka Nchini China Profesa Yuhong Biang, alipofika Ikulu Zanzibar kushoto Mtafiti wa Dawa Asili kutoka Kenya Ndg. Siambi Kikete na Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Afya Zanzibar Dr. Mayassa .S.Ally, wakifuatilia mazungumzo hayo.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Ujumbe wa Wataalam wa Utafiti wa Dawa za Asili ukiongozwa na Profesa Yuhong Biang kutoka Nchini China,Mtafiti kutoka Kenya, Siambi Kikete na Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya ya Afya Zanzibar. Dr. Mayassa.S.Ally. (Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk.Ali Mohamed Shein, akiongozana na mgeni wake Profesa Yuhong Biang, wakitoka katika ukumbi baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliofanyika Ikulu Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akiagana na mgeni wake Profesa Yuhong Biang,Mtaalam wa Utafiti wa Dawa za Asili kutoka China.(Picha na Ikulu)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...