Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akisalimiana na Balozi wa Ethiopia nchini Mhe. Yonas Yosef Sanbe alipomtembelea leo tarehe 1 Februari, 2019 ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.
 Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akisalimiana na Afisa Mwandamizi Ubalozi wa Ethiopia nchini Ndg. Tewodros Girma alipomtembelea leo tarehe 1 Februari, 2019 ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Katikati ni Balozi wa Ethiopia nchini Mhe. Yonas Yosef Sanbe
 Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akifurahi jambo na Balozi wa Ethiopia nchini, Mhe. Yonas Yosef Sanbe (katikati) alipomtembelea leo tarehe 1 Februari, 2019 ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Kulia ni Afisa Mwandamizi Ubalozi wa Ethiopia nchini Ndg. Tewodros Girma
 Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akizungumza na Balozi wa Ethiopia nchini Mhe. Yonas Yosef Sanbe (katikati) alipomtembelea leo tarehe 31 Januari, 2019 ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Kulia ni Afisa Mwandamizi Ubalozi wa Ethiopia nchini, Ndg. Tewodros Girma
 Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kulia) akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Ethiopia nchini Mhe. Yonas Yosef Sanbe alipomtembelea leo tarehe 1 Februari, 2019 ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (wa pili kulia) akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Ethiopia nchini Ndg. Yonas Yosef Sanbe (wa pili kushoto) alipomtembelea leo tarehe 1 Februari, 2019 ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Kushoto ni Katibu wa Spika wa Bunge, Ndg. Said Yakubu na kulia ni Afisa Mwandamizi Ubalozi wa Ethiopia nchini, Ndg. Tewodros Girma
(PICHA NA OFISI YA BUNGE)


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...