Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai akizungumza na Wafanyabishara kutoka Kampuni ya MNG ya nchini Uturuki walipomtembelea mapema leo Ofisini kwake Jijini Dodoma.
 Rais  wa  Kampuni ya MNG ya nchini Uturuki Bw. Mehment Nazif Gunal akimueleza jambo Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai wakati walipomtembelea Ofisini kwake Jijini Dodoma.
  Spika wa Bunge (kulia) katika picha ya pamoja na Rais  wa  Kampuni ya MNG ya nchini Uturuki Bw. Mehment Nazif Gunal mara baada ya kuzungumza naye Ofisini kwake Jijini Dodoma.
Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai katika picha ya pamoja na Wafanyabishara kutoka Kampuni ya MNG ya nchini Uturuki mara baada ya kuzungumza nao Ofisini kwake Jijini Dodoma.

PICHA NA BUNGE

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...