Kaimu Mkurugenzi wa Bodi ya Ununuzi na Ugavi(PSPTB),Godfred Mbanyi akizungumza na Wanafunzi wa utafiti wa Masuala ya ununuzi wakati wa kufunga semina ya watafiti hao, ambao wanafanya tafiti kwa mujibu wa mtaala wa bodi inavyotaka ili  wasajiliwe na kuhitimu mafunzo ya bodi, Pia mkurugenzi huyo alitumia wasaa huo kuwataka wawe waadilifu na wazalendo katika kazi hili kusaidia Taifa kusonga mbele
Mkurugenzi wa Mafunzo wa PSPTB,Amani Ngonyani akizungumza na Wanafunzi wa utafiti ambao wamemaliza mafunzo na wako tayari kwa ajili ya kuingia Mtaani kufanya tafiti ili waweze kufanya mitihani ya bodi hiyo.
Afisa Mahusiniano wa Bodi ya Ununuzi na Ugavi(PSPTB), Shamimu Mdee akizungumza na Wanafunzi hao kabla ya kumkaribisha kaimu Mkurugenzi wa bodi hiyo kutoa nasaha zake
Mmoja ya Wanfunzi wanokwenda kufanya tafiti  kuhusu masuala ya ununuzi na ugavi ,Noelia Richard akipokea cheti kutoka kwa kaimu Mkurugenzi wa bodi ya PSPTB, Godfred Mbanyi.
Mmoja wa Mwanafunzi wa Masuala ya Ununuzi na Ugavi Moerdekai Lasmon akipokea cheti kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi wa Bodi ya Ununuzi na Ugavi SPTB),Godfred Mbanyi mara baada ya kumaliza mafunzo hayo.
Wanafunzi wa mitihani ya bodi ya Ununuzi na Ugavi (PSPTB) Walioshiriki katika semina ya siku tano iliyofanyika katika Ukumbi wa Msekwa kwenye Shule ya Sheria jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...