Watu watatu wanaodhaniwa kuwa ni majambazi wameuawa na Jeshi la Polisi Mkoa Mwanza katika Mtaa wa Nyakabungo, Kata ya Isamilo Jijini Mwanza, usiku wa kuamkia leo Februari 06, 2019.
Kaimu Kamanda wa Polisi mkoani Mwanza, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP), Advera Bulimba amesema miili ya watu hao imehifadhiwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Mwanza Sekou Toure kwa ajili ya utambuzi na kwamba katika tukio hilo, inadhaniwa watuhumiwa wengine watatu walifanikiwa kutoroka.
Na George Binagi, BMG
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...