Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Dkt Harrison Mwakyembe, leo, Februari 14, 2019 amezindua nembo maalumu ya Fainali za Afrika za Vijana chini ya miaka 17 yatakayofanyika mapema mwezi Aprili mwaka huu,ambapo  Tanzania ndiyo mwenyeji wa mashindano hayo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...