Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola(katikati) akikabidhiwa gari la Polisi wilaya ya Arumeru lililofanyiwa matengenezo na kampuni ya Friedkin Conservation Fund Limited(FCFL) kwa gharama ya Sh 15 milioni na Mratibu wa kuzuia Ujangili wa kampuni hiyo,William Mallya,kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Arumeru, Jerry Muro.
 Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola(kushoto) akiwa na wafanyakazi wa kampuni ya Friedkin Conservation Fund Limited baada ya hafla ya makabidhiano katika kituo cha Polisi Usa River.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Kangi Lugola(kushoto) na Mkuu wa wilaya ya Arumeru, Jerry Muro wakiwa katika kituo cha Polisi Usa River wakifurahia gari la polisi lililofanyiwa matengenezo na kampuni ya Friedkin Conservation Fund Limited kwa gharama ya Sh 15 milioni.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...