Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Baraza la Kilimo Tanzania Bi Jacqueline Mkindi akiongoza kikao cha bodi hiyo kilichofanyika katika Ofisi za Baraza la Kilimo Machi 27,2019  Jiji Dar es Salaam.
 Sehemu ya wajumbe wa Bodi ya wakurugenzi ya Baraza la Kilimo Tanzania wakifuatilia kwa umakini agenda za kikao hicho cha kawaida cha siku moja kilichofanyika katika Ofisi za Baraza la kilimo, Machi 27, 2019  Jiji Dar es Salaam.
 Mratibu Taifa wa Ubia wa Kilimo Tanzania Bw Mark Magila, Bw. Omary Mwaimu Mjumbe wa bodi ya wakurugenzi na wajumbe wengine wakifuatilia kikao hicho cha Bodi ya wakurugenzi ya Baraza la Kilimo Tanzania.
 Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Baraza la Kilimo Tanzania Bi Jacqueline Mkindi akiongoza kikao cha bodi hiyo, kushoto kwake ni Mkurugenzi Mtendaji wa Baraza la Kilimo Bi Janet Bitegeko, kikao hicho cha siku moja kimefanyika  katika Ofisi za Baraza la Kilimo Machi 27,2019  Jiji Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Baraza la Kilimo Tanzania Bi Jacqueline Mkindi (mwenye gauni la kitenge)  kulia kwake ni Mkurugenzi Mtendaji wa Baraza la kilimo Bi Janet Bitegeko wakiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wengine  baada ya kumalizika kwa kikao cha kujadili mpango mkakati wa ACT kwa mwaka 2019 hadi 2023, kikao hicho kilifanyika Machi 26,2019 Jijini Dar es salaam..

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...