Baadhi ya wakulima wa Korosho Kijiji cha LINGUSANGUSE Wilaya ya NAMTUMBO Mkoani RUVUMA wameulalamikia uongozi wa Chama cha Msingi cha MJIMWEMA kwa kuwaibia kilo za korosho na kutowalipa stahiki zao. Malalamiko hayo wameyatoa mbele ya Mkuu wa Mkoa wa RUVUMA, CHRISTINA MNDEME alipotembelea kijijini hapo kwa lengo la kusikiliza kero zinazowakabili.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...