Mratibu Msaidizi wa Matukio wa Biko, Hassan Ahmed kushoto akimkabidhi kadi ya pikipiki mshindi wao wa bodaboda na sh milioni moja, anayejulikana kama Steven Yohana Mbelwa, mkazi wa Dar es Salaam baada ya kufanikiwa kuibuka mshindi kwenye droo kubwa ya juzi Jumapili, ambapo droo hizo kubwa hufanyika kila Jumatano na Jumapili kwa kupitia wachezaji wanaotumia namba ya Kampuni 505050 na kumbukumbu 2456. Picha na Mpigapicha wetu.
Mshindi wa pikipiki na sh milioni moja, Steven Yohana Mbelwa, kulia akifurahia na wenzake baada ya kufanikiwa kukabidhiwa zawadi zake kutoka kwenye bahati nasibu ya Biko aliyoshinda katika droo kubwa iliyochezeshwa juzi Jumapili ambapo droo hizo kubwa hufanyika kila Jumatano na Jumapili kwa kupitia wachezaji wanaotumia namba ya Kampuni ambayo ni 505050 na kumbukumbu ni 2456. Picha na Mpigapicha wetu.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...