Mimi
ninajua, Wewe unafahamu na Tanzania inaelewa juu ya Safari Huru
aliyoifunga dada yetu @mwasitij kuelekea Mafanikio kupitia Talanta ya
muziki aliyobarikiwa na Mwenyezi Mungu.
Katika Safari yake amekutana na Changamoto zilizomtoa machozi na kumkwamisha, ila kutokana na Juhudi, Maarifa na Ubunifu alipambana nazo na hatimae alijongea mbele na kutimiza Ndoto zake hatimae kuwa Shujaa.
Kesho ataungana na Wazungumzaji Mahili akiwa ni Mgeni wa Heshima katika tukio la #BintiShujaa ambalo litafanyika katika Ukumbi wa Anatoglo uliopo Mnazi Mmoja.
Kwa taarifa zaidi tembelea kurasa yetu Instagram @safarihuru au tupigie kwa namba 0715171587.
@tanisah_mansour @kijanapositive
#SafariHuru #Womensday #KijanaPositive #BintiPositive #ActivatedBillionaire
Katika Safari yake amekutana na Changamoto zilizomtoa machozi na kumkwamisha, ila kutokana na Juhudi, Maarifa na Ubunifu alipambana nazo na hatimae alijongea mbele na kutimiza Ndoto zake hatimae kuwa Shujaa.
Kesho ataungana na Wazungumzaji Mahili akiwa ni Mgeni wa Heshima katika tukio la #BintiShujaa ambalo litafanyika katika Ukumbi wa Anatoglo uliopo Mnazi Mmoja.
Kwa taarifa zaidi tembelea kurasa yetu Instagram @safarihuru au tupigie kwa namba 0715171587.
@tanisah_mansour @kijanapositive
#SafariHuru #Womensday #KijanaPositive #BintiPositive #ActivatedBillionaire



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...