Msemaji wa bikosports nchini Tanzania, Geofrey Lea kushoto akiwa na mshambuliaji wa klabu ya Simba, Medie Kagere, aliyetwaa tuzo ya mchezaji bora wa mwezi February, tuzo inayodhaminiwa na Kampuni ya michezo ya kubashiri matokeo nchini ya Biko Sports, ambapo mbali na tuzo hiyo, pia alikabidhiwa sh milioni moja.
Mshambuliaji wa klabu ya Simba, Medie Kagere, akiwa ameshika tuzo yake aliyokabidhiwa na waendeshaji wa mchezo wa kubashiri matokeo wa bikosports, ambapo mbali na tuzo hiyo, pia Kagere alipokea zawadi yake ya sh milioni moja kutoka Biko Sports, ambao ndio wadhamini wa tuzo hizo.

 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...