Msemaji wa bikosports nchini Tanzania, Geofrey Lea
kushoto akiwa na mshambuliaji wa klabu ya Simba, Medie Kagere, aliyetwaa
tuzo ya mchezaji bora wa mwezi February, tuzo inayodhaminiwa na Kampuni
ya michezo ya kubashiri matokeo nchini ya Biko Sports, ambapo mbali na
tuzo hiyo, pia alikabidhiwa sh milioni moja.
Mshambuliaji wa klabu ya Simba, Medie Kagere, akiwa
ameshika tuzo yake aliyokabidhiwa na waendeshaji wa mchezo wa kubashiri
matokeo wa bikosports, ambapo mbali na tuzo hiyo, pia Kagere alipokea
zawadi yake ya sh milioni moja kutoka Biko Sports, ambao ndio wadhamini
wa tuzo hizo.





Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...