Katibu Tawala Wilaya ya Rombo (DAS)Bw. Abubakar Asenga akimuongoza  Dkt. Jimmy Yonazi  Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mawasiliano, alipotembelea Minara inayojengwa Rombo na maeneo yenye uhaba wa mawasiliano  ili kuongeza usikivu wa Radio na upatikanaji wa Mawasiliano ya Simu .

Ziara hii inalengo la kumaliza Changamoto ya maingiliano ya Simu na Radio toka nchi Jirani ya Kenya.

Naibu katibu Mkuu Dkt Yonaz aliambatana na viongozi wa Mfuko wa Mawasiliano kwa wote ili nao waweze kuongeza nguvu zaidi katika utekelezaji wa Ilani ya CCM ilioahidi kuendelea kuboresha Mawasiliano kwa Wananchi.



 Katibu Tawala Wilaya ya Rombo (DAS), Abubakar Asenga akimueleza jambo Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mawasiliano,Dkt Jimmy  Yonaz alipotembelea Minara inayojengwa Rombo na maeneo yenye uhaba wa mawasiliano  ili kuongeza usikivu wa Radio na upatikanaji wa Mawasiliano ya Simu .


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...