Katibu wa Bunge Stephen Kagaigai (wa pili kushoto) akitoa taarifa ya utekelezaji wa bajeti ya mwaka 2018/2019 na makadirio ya mapato na matumizi ya Mfuko wa Bunge kwa mwaka wa fedha 2019/2020 mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti kwenye Ukumbi wa Msekwa Jijini Dodoma hii leo. (Picha na Ofisi ya Bunge)
 Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Jenista Mhagama akifafanua jambo kuhusiana na makadirio ya mapato na matumizi ya Mfuko wa Bunge kwa mwaka wa fedha 2019/2020 mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti kwenye Ukumbi wa Msekwa Jijini Dodoma hii leo. (Picha na Ofisi ya Bunge)
 Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti George Simbachawene akichangia jambo mbele ya Kamati hiyo ilipokutana ili kupokea taarifa ya utekelezaji wa bajeti ya mwaka 2018/2019 na makadirio ya mapato na matumizi ya Mfuko wa Bunge kwa mwaka wa fedha 2019/2020 kwenye Ukumbi wa Msekwa Jijini Dodoma hii leo.  (Picha na Ofisi ya Bunge)
Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti wakifuatilia uwasilishaji wa taarifa ya utekelezaji wa bajeti ya mwaka 2018/2019 na Makadirio ya mapato na matumizi ya Mfuko wa Bunge kwa mwaka wa fedha 2019/2020 kwenye Ukumbi wa Msekwa Jijini Dodoma hii leo.  (Picha na Ofisi ya Bunge)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...