Spika wa Bunge, Job Ndugai (kushoto) akisisitiza jambo wakati wa mazungumzo na Meneja wa TPB Benki Tawi la Dodoma, Edward Mlowo (katikati) alipomtembelea leo tarehe 14 Machi 2019 Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Kulia ni Afisa Mikopo TPB Benki Tawi la Dodoma, Hamis Salehe
 Spika wa Bunge, Job Ndugai (kushoto) akimsikiliza Meneja wa TPB Benki Tawi la Dodoma, Edward Mlowo (katikati) walipomtembelea leo tarehe 14 Machi 2019 Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Kulia ni Afisa Mikopo TPB Benki Tawi la Dodoma, Hamis Salehe
Spika wa Bunge, Job Ndugai (katikati) katika picha ya pamoja na Meneja wa TPB Benki Tawi la Dodoma, Edward Mlowo (kulia), Afisa Mikopo TPB Benki Tawi la Dodoma, Hamis Salehe (kushoto) walipomtembelea leo tarehe 14 Machi 2019 Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.

(PICHA NA OFISI YA BUNGE)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...