Meneja wa kampeni ya Binti ya Kitaa David George akizungumza na wanafunzi wa shule ya Sekondari ya wasichana Kisutu katika maadhimisho ya siku ya mwanamke duniani, leo jijini Dar es salaam na kuwahimiza mabinti hao kuishi katika ndoto zao ili kuweza kufikia malengo
 Balozi wa kampeni ya Binti wa kitaa Salama Salim maarufu kama Sandra akiongea na wanafunzi wa shule ya Sekondari ya wanawake Kisutu katika maadhimisho ya siku ya mwanamke duniani, na kuwahimiza kuzingatia masomo yao ili waweze kutimiza malengo yao, leo jijini Dar es salaam.
Wanafunzi wa shule ya Sekondari ya wanawake Kisutu wakimsikiliza Meneja wa kampeni ya Binti ya Kitaa David George. 
Picha ya pamoja

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...