Mwenyekiti wa Wanawake Wizara ya Habari,Utamaduni Sanaa na Michezo Bibi.Prisca Shewale akikabidhi vitu mbalimbali kwa  niaba ya wanawake wa Wizara hiyo kwa Mganga Mfawidhi wa Kituo cha Afya Chamwino Dkt.Zipora Mfugale  kwa ajili ya wanawake, watoto na wenye uhitaji maalum waliolazwa kituoni hapo ikiwa ni kuamdhimisha Siku ya Wanawake Duniani leo Wilayani Chamwino.
PIC 2
Afisa Utumishi Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Bi.Jacquiline Kalua akimpa vifaa mbalimbali Bibi Marietha Maiko alielazwa Kituo Cha Afya Chamwino wakati wanawake wa Wizara hiyo walipotembelea kituo hicho katika kuamdhimisha Siku ya Wanawake Duniani leo Wilayani Chamwino.
PIC 3
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Bi.Lorietha Laurence akitoa vifaa mbalimbali kwa Bibi Regina Balabaido alielazwa Kituo Cha Afya Chamwino wakati wanawake wa Wizara hiyo walipotembelea kituo hicho katika kuamdhimisha Siku ya Wanawake Duniani leo Wilayani Chamwino.
PIC 4
Afisa Habari wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Bibi.Lilian Lundo akitoa vifaa mbalimbali kwa Bibi Molen Mwaiko alielazwa Kituo Cha Afya Chamwino wakati wanawake wa Wizara hiyo walipotembelea kituo hicho katika kuamdhimisha Siku ya Wanawake Duniani leo Wilayani Chamwino.
PIC 5
Baadhi ya Wanawake Wizara ya Habari,Utamaduni Sanaa na Michezo wakiwa katika picha ya pamoja na uongozi wa Kituo Cha Afya Chamwino mara baada ya kutembelea Kituo hicho na kutoa misaada mbalimbali kwa wagojnwa waliolazwa kituoni hapo ikiwa ni kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...