Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Kangi Lugola akioneshwa Askari wa Usalama Barabarani Ibrahim Samwix  namna wanavyofanya ukaguzi katika vyombo mbambali vya usafiri wakati wa Kongamano la usalama barabarani lililofanyika jijini Dar es Salaam.
 Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Kangi Lugola akizungumza na waandishi habari katika kungomano la usalama barabarani lililofanyika jijini Dar es Salaam.
 Mkaguzi wa Kituo cha Ukaguzi Cha Usalama Barabarani cha Mabasi ya Mikoani na Nchi Jirani Ibrahim Samwix akizungumza mbiinu mbalimbali wanazozitumia katika ukaguzi vyombo vya usafiri katika kongamano la usalama barabarani lililofanyika jijini Dar es Salaam.
 Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Kangi Lugola akitoa maelekezo kwa askari wa usalama barabarani katika kongamano la usalama barabarani lililofanyika jijini Dara es Salaam.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Kangi Lugola akitoa maelekezo askari wa usalama Barabarani Ibarahimu Samwix wakati wa kongamano la usalama barabarani lililofanyika jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...