Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Gelasius Byakanwa akizungumza pamoja na kuwatoa hofu wakazi wa mkoa huo na watanzania kwa ujumla juu ya hali ya uwepo wa kimbunga Kenneth kinachoelezwa kutokea katika baadhi ya maeneo ya mkoa huo, wakati alipotembelea kwenye eneo la uwanja wa ndege wa mkoa huo na kuwatoa hofu juu ya taarifa zinazoenea kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii kuwa hali siyo shwari, RC Byakanwa amesema hali ni shwari hadi hivi sasa siyo kama taarifa hizo zinavyoenezwa.(PICHA NA FATNA MWINYIMKUU).
Wakazi mkoani Mtwara leo wakiyakimbia makazi yao na kukimbila shule ya msingi Tandika mkoani hapa eneo ambalo serikali ya mkoa wa mtwara imetangaza kuwa yatakuwa salama kwao hata kama kimbunga keneth kitatokea kwani madhara hayatakuwa makubwa kwao.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...