Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa pamoja na Waumini
wengine wa Kanisa Katoliki akishiriki Misa Takatifu ya Alhamisi Kuu
katika kanisa la Mtakatifu Petro Parokia ya Oysterbay jijini Dar es
Salaam.
Waumini wa Kanisa Katoliki la Mtakatifu Petro
Parokia ya Oysterbay wakiwa katika Misa Takatifu ya Alhamisi Kuu
kanisani hapo jijini Dar es Salaam. PICHA NA IKULU
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...