Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Umma, Jaji mstaafu Dkt. Steven James Bwana (kulia) akizungumza katika mahojiano maalum na bwana Rutengano Haonga wa TBC 1 (kushoto) yaliyofanyika leo jijini Dar es Salaam. (Picha na PO PSC)
Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Umma Jaji mstaafu Dkt. Steven James Bwana (kulia) akiteta jambo na bwana Rutengano Haonga wa TBC 1 (katikati) jijini Dar es Salaam . (Picha na PO PSC)




Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...