Waziri wa Habari, utamaduni, Sanaa na Michezo Harrison Mwakyembe akiwasilisha Bungeni Makadirio ya mapato na matumizi ya mwaka wa fedha 2019/20.
 Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Juliana Shonza akimpongeza  Waziri wa Habari, utamaduni, Sanaa na Michezo Harrison Mwakyembe baada ya kuwasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya mwaka wa fedha 2019/20.
Baadhi ya Viongozi wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo wakifuatilia hotuba ya Makadirio ya mapato na matumizi ya mwaka wa fedha 2019/20 bungeni leo mjini Dodoma. Picha na Kelvin Kanje-MAELEZO

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...