Airtel yaendeleza usajili kwa Watumishi mbalimbali kutoka Wizara na taasisi zake zilizopo katika mji
wa Serikali Mtumba jijini Dodoma ambao ni wateja wa Airtel wakisajili
laini zao kwa alama za vidole jana. Airtel inaendelea na usajili huo
pia katika maduka yake zaidi ya 650 nchini. (Picha na Airtel).
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...