Sehemu ya waombolezaji wakiwa ndani ya kanisa la kiinjili la Kilutheli (KKKT) usharika wa Moshi, wakati wa shughuli za kuaga mwili wa Dkt Reginald Mengi zinazoendelea hivi sasa.
Familia ya Marehemu Dkt Reginald Mengi ikiwa ni yenye huzuni kubwa kwa kuondokewa na mpendwa wako, wakati wa shughuli ya kuaga mwili wake inayoendelea hivi sasa katika katika la kiinjili la Kilutheli (KKKT) usharika wa Moshi.
Nje ya kanisa hivi ndivyo hali ilivyo wakati watu mbalimbali wakiendelea na zoezi la kuaga mwili wa Dkt Reginald Mengi katika kanisa la kiinjili la kilutheli usharika was Moshi mjini.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...