Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigamboni,Ng’wilabuzu Ludigija (wa mbele) akiwa ambeamatana na watendanji wa Manispaa hiyo kuwaelimisha wananchi mwisho wa matumizi ya mifuko ya plastiki  kuwa ni leo Mei 31, 2019,amesema ni marufuku kutengeneza, kuingiza, kuuza na kutumia mifuko ya plastiki  kwa ajili ya kubebea bidhaa za aina yoyote  katika Manispaa hiyo.Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv)
Meneja wa Mkuu wa Green Waste,Allan Sudi akimkabidhi  Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigamboni,Ng’wilabuzu Ludigija makasha ya kukusanya kata za mifuko ya plastiki kuunga mkono katazo la Serikalui la kupiga marufuku matumizi  ya mifuko ya plastiki.
 Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigamboni,Ng’wilabuzu Ludigija akizungumza na wananchi wa kigamoni juu ya mwisho wa matumizi ya mifuko ya plastiki  ni leo Mei 31, 2019.(Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv)
 Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigamboni,Ng’wilabuzu Ludigija (kulia) akiwa maeambana na watendanji wa Manispaa hiyo wakiangalia mifuko iliyopo katika soko kuu  la kigambani na kuwapa elimu wanachi juu ya mwisho wa matumizi ya mifuko ya plastiki  ni leo Mei 31, 2019.
 Wananchi wakiweka mifuko ya plastiki katika makasha ya kukusanya kata.
Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Ferry,Juma Mwingamno (watatu kulia) akitoa elimu kwa wananchi wa Kigamboni kuhusu  kosa kisheria pindi watakapokutwa na mifuko ya Plastiki.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...