RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Afya Zanzibar , wakati wa Mkutano wa Utekelezaji wa Mpango Kazi wa Wizara ya Afya Zanzibar kwa Kipindi cha Julai 2018 -Marchi 2019.(Picha na Ikulu)
 KATIBU Mkuu Wizara ya Afya Zanzibar Bi. Asha Ali Abdalla akiwasilisha Mpango Kazi wa Wizara ya Afya Zanzibar kuazi Julai 2019 hadi Marchi 2019, uliofanyika katika ukumbi wa mkutano Ikulu Ndogo Kibweni Zanzibar.kulia Mshauri wa Wizara ya Afya Zanzibar Dr. Mohammed Jidawi na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Balozi Seif Ali Iddi.
 VIONGOZI wa Wizara ya Afya Zanzibar wakiwa katika ukumbi wa Mkutano Ikulu Zanzibar wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akifungua mkutano wa Utekelezaji wa Mpango Kazi wa Wizara ya Afya Zanzibar kwa kipindi cha Julai 2018 hadi Marchi 2019, uliofanyika katika Ukumbi wa Ikulu Ndogo Kibweni Zanzibar.(Picha na Ikulu)
 MKURUGENZI Mkuu Taasisi ya Utafiti wa Afya Zanzibar Dr. Mayasa Salum Ally akichangia wakati wa mkutano huo wa Utekelezaji wa Mipango Kazi Wizara ya Afya uliofanyika Ikulu Ndogo Kibweni Zanzibar.
 MKURUGENZI Kinga na Elimu ya Afya Zanzibar Dr. Fadhil Mohammed akichangia wakati wa Mkutano wa Utekelezaji wa Mpango Kazi wa Wizara ya Afya Zanzibar.wakati wa mkutano huo.
 MKURUGENZI wa Bohari Kuu ya Dawa Zanzibar Dr. Zahrani Ali Hamad, akichangia wakati wa mkutano huo wa Utekelezaji wa Mpongo Kazi wa Wizara ya Afya Zanzibar. uliofanyika katika ukumbi wa mkutano Ikulu Ndogo Kibweni Zanzibar.
 NAIBU Waziri wa Wizara ya Afya Zanzibar Mhe. Harusi Said Suleiman akizungumza wakati wa mkutano huo wa Utekelezaji wa Mpango Kazi wa Wizara ya Afya Zanzibar

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...