Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai (kulia) na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Mhandisi James Kilaba wakiwasili katika vwanja vya Bunge kukagua maendeleo ya zoezi la Usajili Mpya wa Simu kwa kutumia akitembelea baadhi ya mabanda ya wadau wa Mawasiliano ya Simu katika viwanja vya katika zoezi la Usajili Upya wa Laini za Simu kutumia Kitambulisho cha Taifa liloratibiwa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kwa kushirikisha Kampuni za simu Bunge leo jijini Dodoma. 
 Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai akitembelea baadhi ya mabanda ya wadau wa Mawasiliano ya Simu katika viwanja vya Bunge leo jijini Dodoma katika zoezi la Usajili Upya wa Laini za Simu kutumia Kitambulisho cha Taifa liloratibiwa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kwa kushirikisha Kampuni za simu. Kulia ni Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Uchukuzi na Mawasiliano), Mhandisi Atashasta Nditiye.

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai akichukuliwa alama ya kidole alipotembelea moja ya mabanda ya Kampuni za Simu na Kusajili Laini katika viwanja vya Bunge leo jijini Dodoma katika zoezi la Usajili Upya wa Laini za Simu kutumia Kitambulisho cha Taifa liloratibiwa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kwa kushirikisha Kampuni za simu. Kulia ni Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Uchukuzi na Mawasiliano), Mhandisi Atashasta Nditiye. 
 Baadhi ya Wabunge na Wafanyakazi wa Bunge wakisikiliza maelezo kutoka kwa mmoja wa wafanyakazi wa TTCL walipotembelea Banda la Kampuni hiyo katika viwanja vya Bunge leo jijini Dodoma katika zoezi la Usajili Upya wa Laini za Simu kutumia Kitambulisho cha Taifa liloratibiwa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kwa kushirikisha Kampuni za simu. 

 Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mbunge wa Iramba Mashariki, Lameck Mwigulu Nchemba(MB), akisajili laini alipotembelea moja ya mabanda ya Kampuni za Simu na Kusajili Laini katika viwanja vya Bunge leo jijini Dodoma katika zoezi la Usajili Upya wa Laini za Simu kutumia Kitambulisho cha Taifa liloratibiwa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kwa kushirikisha Kampuni za simu. Kulia ni Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Uchukuzi na Mawasiliano), Mhandisi Atashasta Nditiye.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...