Pichani aliyesimama ni meneja mawasilano wa shirika lisilo la kiserikali linalotoa ushauri wa msaada wa kisheria la Legal Services Facility (LSF) Jane Matinde leo akitoa mada kuhusu shirika hilo namna ambavyo linavyofanya kazi na jamii kuhusu kutambua haki zao na sheria lakini pia kuboresha ushirikiano kati ya shirika hilo na waandishi wa habari ambapo yanayoendeshwa na shirika hilo. 
Pichani ni waandishi wa habari wa mikoa ya Kusini Lindi, Mtwara na Ruvuma leo wakiwa katika mafunzo ya siku moja kuhusu kuboresha ushirikiano kati ya shirika lisilo la kiserikali linalotoa ushauri wa msaada wa kisheria la Legal Services Facility (LSF) na waandishi wa habari yanayoendeshwa na shirika hilo. 
Pichani aliyesimama ni mwezeshaji wa mafunzo ya siku moja kwa waandishi wa habari wa mikoa ya Kusini Lindi, Mtwara na Ruvuma Nevile Meena ambaye pia ni katibu wa Jukwaa la wahariri nchini (TEF) leo akitoa mada kuhusu kuboresha ushirikiano kati ya shirika lisilo la kiserikali linalotoa ushauri wa msaada wa kisheria la Legal Services Facility (LSF) na waandishi wa habari mafunzo ambapo yanayoendeshwa na shirika hilo lakini pia namna ambavyo wanapaswa kutoa elimu kwa jamii kuhusu kutambua haki zao na sheria. (PICHA NA FATNA MWINYIMKUU)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...