Mke wa Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Mama Salma Kikwete akitia saini katika kitabu cha Maombolezo ya Msiba wa Dk , Regnald Mengi nyumbani kwa Marehemu Kinondoni Jijini Dar es Salaam.
 Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi, Humphrey Polepole, akisaini kitabu cha Maombolezo wa msiba wa Dr. Reginald Mengi Kinondoni Jijini Dar es Salaam
  Mke wa Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Mama Salma Kikwete akitoa pole kwa mmoja ya Wafiwa wa Msibani kwa Marehemu Dr. Reginald Mengi
 Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Luaga Mpina akitoa pole kwa mmoja ya Wafiwa wa Msibani kwa Marehemu Dr. Reginald Mengi
 Mke wa Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Mama Salma Kikwete akizungumza jambo na Mbunge wa Kinondoni Maulid Mtulya
 Mwenyekiti wa Wazalendo kwanza, Steve Nyerere akizungumza na Mkurugenzi wa Global Publisher Erick Shigongo Msibani kwa marehemu Mengi
Balozi Juma Mwapachu akizungumza na Mbunge Hawa Ghasia mara alipowasili kwenye Msiba wa Marehemu Dr. Reginald Mengi Kinondoni Jijini Dar es Salaam.

Wasanii wa Kundi la Uzalendo kwanza wakiteta jambo msibani kwa Marehemju Dr Reginald Mengi Kinondoni Jijini Dar es Salaam

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...