Mkuu wa mkoa wa Ruvuma Christina Mndeme kulia,akimvisha kitambulisho cha ujasiliamali mchimbaji mdogo wa Madini ya vito kutoka wilaya ya Tunduru Bakari Chimwaga kushoto ambaye alikuwa miongoni mwa wachimbaji wadogo waliopata vitambulisho  vya wajasilimali ikiwa ni kuitikia agizo la Rais Dkt John Magufuri.

Picha na Ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Ruvuma

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...