Mkuu wa mkoa wa Ruvuma Christina Mndeme kulia,akimvisha kitambulisho cha ujasiliamali mchimbaji mdogo wa Madini ya vito kutoka wilaya ya Tunduru Bakari Chimwaga kushoto ambaye alikuwa miongoni mwa wachimbaji wadogo waliopata vitambulisho vya wajasilimali ikiwa ni kuitikia agizo la Rais Dkt John Magufuri.
Picha na Ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Ruvuma
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...