Bwana Ramadhan Ali Foum (Rama Kimara) akimkaribisha Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Hospitali ya Kijitonyama kumkagua Mkewe Bibi Lela Ngozi Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa aliyelazwa kupatiwa huduma za Afya.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akimjulia hali Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM Bibi Lela Ngozi aliyelazwa Hospitali ya Kijitonyama Dar es salaam akipatiwa huduma za Afya.
Daktari dhamana wa Hospitali ya Kijitonyama Dkt. Nyamsogoro akimuelezea Balozi Seif maendeleo ya Afya ya Mgonjwa wao Bibi Lela Ngozi wanayempatia huduma za Matibabu Hospitalini hapo.
Bibi Lela Ngozi akielezea faraja anayoipata
kutokana na huduma za matibabu yake wakati akibadilishana mawazo na
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi.
Picha na – OMPR – ZNZ.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...