Bwana Ramadhan Ali Foum (Rama Kimara) akimkaribisha Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Hospitali ya Kijitonyama kumkagua Mkewe Bibi Lela Ngozi Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa aliyelazwa kupatiwa huduma za Afya.
 Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akimjulia hali Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM Bibi Lela Ngozi aliyelazwa Hospitali ya Kijitonyama Dar es salaam akipatiwa huduma za Afya.
 Daktari dhamana wa Hospitali ya Kijitonyama Dkt. Nyamsogoro akimuelezea Balozi Seif maendeleo ya Afya ya Mgonjwa wao Bibi Lela Ngozi wanayempatia huduma za Matibabu Hospitalini hapo.
 Bibi Lela Ngozi akielezea faraja anayoipata kutokana na huduma za matibabu yake wakati akibadilishana mawazo na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi. Picha na – OMPR – ZNZ.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...