Mmoja wa Wakazi wa Buchosa Wilaya ya Sengerema akipanda boti kwa shida,kama alivyonaswa na mpiga picha wa Globu ya Jamii mapema leo,akitumia ngazi kutokana na kutokuwepo kwa gati ya kupaki boti hizo ambazo zimekuwa zikisaidia suala la usafiri ndani ya ziwa victoria,hata hivyo Serikali kupitia Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), imejenga gati ya kisasa katika eneo hilo ili kuondoa adha hiyo inayowakumba wakazi wa maeneo hayo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...