Mmoja wa Wakazi wa Buchosa Wilaya ya Sengerema akipanda boti kwa shida,kama alivyonaswa na mpiga picha wa Globu ya Jamii mapema leo,akitumia ngazi kutokana na kutokuwepo kwa gati ya kupaki boti hizo  ambazo zimekuwa zikisaidia suala la usafiri ndani ya ziwa victoria,hata hivyo Serikali kupitia Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), imejenga gati ya kisasa katika eneo hilo ili kuondoa adha hiyo inayowakumba wakazi wa maeneo hayo.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...