
Wananchi wakiwa wamefurika kwa wingi kwenye mnada unaofanyika kwenye viwanja vya biafra wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam waki nunua mahitaji mbalimbali kwa ajili ya maandalizi ya sikuku ya Eid El Fitr hali hii imekuwa ni kawaida kutokea katika maeneo mbalimbali ya jiji hasa inapofika wakati wa kukaribia sikukuu. (picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi TV)
Wakinamama wakiewa katika zoezi la kusagula sagula viwalo mbalimbali vya kutokea sikukuu.


Wananchi wa jiji la Dar es Salaam wakiwa katika harakati za kutafuta mahitaji kuelekea sikukuu ya kuhitimisha mwezi mtukufu wa Ramadhani katika mnada unaofanyika katika viwanja vya Biafra, wilaya ya Kinondini Dar es salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...