Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb), akifanya majumuisho ya mjadala wa Bajeti Kuu ya mwaka 2019/20 kabla ya kupitishwa na Bunge, Jijini Dodoma.
 Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb), akijibu hoja za Wabunge wakati wa majumuisho ya mjadala wa Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka 2019/20 kabla ya kupitishwa kwa kishindo Bungeni Jijini Dodoma.
 Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Innocent Bashugwa akitoa ufafanuzi wa hoja mbalimbali zilizotolewa na Bunge wakati wa majumuisho ya mjadala wa Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka 2019/20 kabla ya kupitishwa Bungeni Jijini Dodoma.
 Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb) na Naibu wake Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) wakisikiliza kwa makini maelezo ya Mawaziri wakati wakijibu hoja mbalimbali za Wabunge kuhusu Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka 2019/20, kabla ya kupitishwa Bungeni Jijini Dodoma.

 Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango Bw. Doto James (kushoto), akifurahia jambo wakati Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb) (hayupo pichani), alipokua akifanya majumuisho ya mjadala wa Bajeti Kuu ya Serikali ya mwaka 2019/20.
 Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa, akiwapongeza Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb) na Naibu wake Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb), baada ya kufanya majumuisho ya mjadala wa Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka 2019/20, kabla ya kupitishwa Bungeni Jijini Dodoma.
 Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango Bw. Doto James (wa pili kushoto), akiwa na Wakuu wa Idara na Taasisi za Wizara hiyo wakifuatilia majumuisho ya mjadala wa Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka 2019/20, kabla ya kupitishwa Bungeni Jijini Dodoma.
 Baadhi ya Mawaziri na  Wabunge wakifurahia baada ya Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka 2019/20 kuidhinishwa na Bunge Jijini Dodoma.
 Baadhi ya Wabunge wakiwapongeza Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb) na Naibu wake Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb), baada ya Bunge kupitisha Bajeti Kuu ya Serikali ya Sh. trilioni 33.1, katika viwanja vya Bunge Jijini Dodoma.
Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb) (katikati), Naibu Waziri wa Wizara hiyo Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) (wa tatu kulia), Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Bw. Doto James (wa pili kulia) na viongozi wengine, wakuu wa idara na Taasisi, wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kupitishwa kwa Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2019/20, jijini Dodoma

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...