Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akizungumza na Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dkt. Angelina Mabula, Bungeni jijini Dodoma, Juni 13.2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
  Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akisalimiana na Mbunge wa Musoma Vijijini, Prof. Sospeter Muhongo, kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Juni 13.2019. 
 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akisalimiana na Mbunge wa Geita, Joseph Musukuma, kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Juni 13.2019. 
  Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akisalimiana na Mbunge wa Mpwapwa, George Lubeleje, kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Juni 13.2019. 
 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akizungumza na Naibu Waziri wa Kilimo, Omar Mgumba, kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Juni 13.2019.
 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akizungumza na Wabunge, kwenye jengo la Utawala Bungeni jijini Dodoma, Juni 13.2019. Tokea kushoto ni Mbunge Nzega mjini Hussein Bashe, Mbunge wa Mtama Nape Mnauye, Mbunge wa Kahama mjini Jumanne Kishimba.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...