Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango, Bungeni jijini Dodoma, Juni 25, 2019.
Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Ashatu Kijaji akijibu hoja za Wabunge kuhusu Bajeti ya Serikali, Bungeni jijini Dodoma, Juni 25, 2019.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Kuteuliwa, Anne Kilango, Bungeni jijini Dodoma, Juni 25, 2019.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe, Bungeni jijini Dodoma, Juni 25, 2019.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimpongeza Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango na Naibu wake, Dkt. Ashatu Kijaji (kulia) baada ya Waziri wa Fedha na Naibu wake kujibu hoja za wabunge kuhusu Bajeti ya Serikali, Bungeni jijini Dodoma, Juni 25, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...