Mkuu wa Jeshi La Polisi wilaya ya Pangani (OCD) Georgina Matagi amefanya jitihada binafsi na kuchukua hatua kufanya marekebisho ya kituo kikuu cha Polisi Pangani chenye historia toka mwaka 1958 na kuanzisha mchakato wa kukijenga upya akishirikisha nguvu za wananchi.
Hatua hii ya kibunifu imepongezwa na Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mh.Martine Shigela baada ya mwaliko wa Ofisi ya Mkuu wa Wilaya Pangani kufika na kujionea kazi hii kubwa ya Jeshi la Polisi Pangani.
Mh.Shigela na Mbunge wa Pangani Mh.Jumaa Aweso kwa pamoja wametoa vifaa vya kuezeka na umaliziaji wa kituo hiki kikuu cha Polisi Pangani.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...