Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. John Pombe Magufuli akisalimiana na Mkurugenzi Mtendani wa SportPesa Bw. Abbas Tarimba Abbas alipofika kuhani msiba nyumbani kwake Kinondoni Hananasifu jijini Dar es salaam ambapo hivi karibuni wamefiwa na watoto wao wawili (mmoja alifariki dunia miezi mitatu iliyopita na mwngine wiki iliyopita.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. John Pombe Magufuli akisalimiana na Bw. Abbas Tarimba Abbas nyumbani kwake Kinondoni ambaye hivi karibuni amefiwa na watoto wake wawili (mmoja alifariki dunia miezi mitatu iliyopita na mwngine wiki iliyopita jijini Dar es
salaam

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. John Pombe Magufuli akisalimiana na mke wa Bw. Abbas Tarimba Abbas nyumbani kwao Kinondoni ambao hivi karibuni wamefiwa na watoto wao wawili (mmoja alifariki dunia miezi mitatu iliyopita na mwngine wiki iliyopita jijini Dar es salaam

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. John Pombe Magufuli akizungumza na Bw. Abbas Tarimba Abbas nyumbani kwake Kinondoni alipokwenda kuhani msiba ambapo hivi karibuni amefiwa na watoto wake wawili (mmoja alifariki dunia miezi mitatu iliyopita na mwngine wiki
iliyopita jijini Dar es salaam

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. John Pombe Magufuli akimpa mkono wa pole Bw. Abbas Tarimba Abbas nyumbani kwake Kinondoni alipokwenda kuhani msiba ambapo hivi karibuni amefiwa na watoto wake wawili (mmoja alifariki dunia miezi mitatu iliyopita na mwngine wiki iliyopita jijini Dar es salaam

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. John Pombe Magufuli akiagana na Bw. Abbas Tarimba Abbas nyumbani kwake Kinondoni alipokwenda kuhani msiba ambapo hivi karibuni amefiwa na watoto wake wawili (mmoja alifariki dunia miezi mitatu iliyopita na mwngine wiki iliyopita jijini Dar es salaam

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...