Mkuu wa mkoa wa Mtwara Gelasius Byakanwa wa pili kushoto leo akikata utepe katika uzinduzi wa soko la madini mkoa wa mtwara, kulia kwake ni mkuu wa wilaya ya mtwara Evod Mmnda kushoto ni katibu tawala wa mkoani humo Dkt. Jilly Maleko.(PICHA NA FATNA MWINYIMKUU)

  Mtaalmau wa madini mkoa wa mtwara Aidan Mhando kulia leo akitoa amaelezo kwa mkuu wa mkoa huo Gelasius Byakanwa alioko kati kati kuhusu madini yanayopatikana mkoani humo wakati wa uzinduzi wa soko la madini mkoani humo kushoto ni mkuu wa wilaya ya Mtwara Evod Mmanda anayefata ni katibu tawala wa mkoani humo Dkt. Jilly Maleko.
 Mkuu wa mkoa wa Mtwara Gelasius Byakanwa kati kati leo akiwa ameshika moja ya madini yanayozalishwa mkoani humo na kutaka elimu zaidi kuhusu madini hayo kutoka kwa mtaalamu wa madini mkoani humo Aidan Mhando kulia wakati wa uzinduzi wa soko la madini mkoani humo kushoto ni mkuu wa wilaya ya mtwara Evod Mmada.

Mkuu wa mkoa wa Mtwara Gelasius Byakanwa kati kati leo akiwa kwenye picha ya pamoja na kamati ya ulinzi mkoani humo wakati wa uzinduzi wa soko la madini mkoa wa mtwara.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...