MBUNGE wa Viti Maalum (CCM), Jacqueline Msongozi amewataka wahitimu wa mafunzo ya uhifadhi wa maliasili kwa jami kuwa mstari wa mbele katika kupambana na majangili pamoja na kulinda maliasili za Taifa licha ya changamoto wanazokutana nazo pindi wanapotekeleza majuku yao. Wito huo ameutoa wakati wa kufunga mafunzo ya VGS katika Chuo cha mafunzo ya uhifadhi wa maliasili kwa jamii Likuyusekamaganga kilichopo Wilaya ya NAMTUMBO mkoani RUVUMA .

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...