Wajumbe wa kamati maalumu ya kutatua changamoto zinazowakabili wafanyabiashara wa Malawi wanayotumia bandari ya Dar es Salaam wakikagua miundombinu katika bandari kavu ya Malawi iliyopo Jijini Mbeya, ili kuhamasisha matumizi zaidi ya bandari hiyo kupunguza siku za kusafirisha mizigo kwenda Malawi. (Picha na Iddy Mwema)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...