Wajumbe wa kamati maalumu ya kutatua changamoto zinazowakabili wafanyabiashara wa Malawi wanayotumia bandari ya Dar es Salaam wakikagua miundombinu katika bandari kavu ya Malawi iliyopo Jijini Mbeya, ili kuhamasisha matumizi zaidi ya bandari hiyo kupunguza siku za kusafirisha mizigo kwenda Malawi. (Picha na Iddy Mwema)





Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...