Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Mh. January Makamba akifafanua jambo alipokutana na Wajumbe wa Kikosi kazi cha katazo la mifuko ya plastiki jijini Dodoma.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Mh. January Makamba akiongea wakati alipokutana na Wajumbe wa kikosi kazi cha katazo la mifuko ya plastiki jijini Dodoma, ikiwa ni kutathmini zoezi zima la marufuku ya plastiki lilivyokua. Pembeni yake ni Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Mh. Mussa Sima.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...