Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Mh. January Makamba akifafanua jambo alipokutana na Wajumbe wa Kikosi kazi cha katazo la mifuko ya plastiki jijini Dodoma.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Mh. January Makamba akiongea wakati alipokutana na Wajumbe wa kikosi kazi cha katazo la mifuko ya plastiki jijini Dodoma, ikiwa ni kutathmini zoezi zima la marufuku ya plastiki lilivyokua. Pembeni yake ni Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Mh. Mussa Sima.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...